Tuesday, January 31, 2012

Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania
(‘Tanzania Commission for
Universities’-TCU) ikishirikiana
na Baraza laTaifa la Elimu ya
Ufundi (‘National Council for
Technical Education’ - NACTE)
pamoja na Bodi ya Mikopo ya
Wanafunzi Elimu ya Juu (Higher
Education Students Loans
Board) inapenda kuutarifu
umma kuhusu utaratibu wa
kujiunga na vyuo vya elimu ya
juu kwa mwaka wa masomo
2012/2013 kupitia mifumo ya
“Pre-entry”, “Mature Age
Entry”, “Equivalent
Qualifications” na mfumo wa
pamoja wa udahili (‘Central
Admission System’) na
utaratibu wa mikopo kama
ifuatavyo:
MFUMO WA UDAHILI KUANZIA
MWAKA 2012/13
1.1 Utaratibu wa Kuendesha
Program za “Pre-entry” na
“Mature Age Entry”
Kuanzia mwaka huu 2012, vyuo
vyote vitakavyotaka kuendesha
mafunzo ya awali kabla ya
mwombaji kustahili kudahiliwa
ili kuweza kujiunga na
programu za elimu ya juu (pre-
entry programmes) pamoja na
kuendesha mitihani ya kupitia
mfumo wa “Mature Age Entry”
vinatakiwa kuwasilisha
programu hizo Tume ya Vyuo
Vikuu (TCU) au Baraza la Taifa la
Elimu ya Ufundi (NACTE) kwa
uhakiki na kupata kibali.
Programu hizo ni lazima
ziendeshwe kwa muda wa
mwaka mmoja. Hali kadhalika
kwa upande wa mitihani
kupitia mfumo wa mature
entry, Tume kwa ushirikiano na
Baraza, kwa pamoja
wataandaa na kuratibu
utaratibu wa mitihani katika
vituo maalum kikanda ili vyeti
vitakavyotolewa viwe na
ulinganifu unaostahili na
hatimaye kuweza kutumika
katika udahili wa sifa linganishi
katika vyuo mbalimbali.
Vyuo vinatakiwa kuandaa
programu za mifumo ya “Pre-
entry” na “Mature Age Entry”
na kuziwasilisha Tume na
Baraza ili zihakikiwe kwani
mwaka wa masomo kwa
kusudi hili utaanza mwezi
Agosti 2012/2013. Kwa
utaratibu huu, watakaofanya
mafunzo hayo watatakiwa
kufanya mitihani yao na
kujiunga na masomo ya elimu
ya juu katika mwaka wa
masomo 2013/2014.
Kwa taarifa hii, mwaka
2012/13 hakutakuwapo na
udahili wa wanafunzi kwa
mfumo wa “Pre-Entry” na
“Mature Age Entry”.
1.2 Utaratibu wa Udahili Kupitia
Mfumo wa Pamoja (Central
Admission System)
Waombaji watakaopitia mfumo
wa pamoja wa udahili (CAS)
wamegawanyika katika
makundi manne, ambapo
waombaji wa kundi (i), (ii) na
(iii) watatambuliwa kama
“Direct Applicants” na kundi (iv)
watatambuliwa kama “Indirect
Applicants”
Waliohitimu elimu ya sekondari
kidato cha sita katika kipindi
cha miaka miwili iliyopita
pamoja na wale watakaohitimu
mwaka huu.
Waliohitimu mafunzo ya
diploma ya elimu ya ufundi
(NTA level 6) kutoka vyuo
vinavyotambulika na NACTE
miaka miwili iliyopita pamoja
na wale watakaohitimu mwaka
huu;
Waliohitimu mafunzo ya
Diploma ya Ualimu (kutoka
vyuo vinavyotambulika) katika
kipindi cha miaka miwili
iliyopita pamoja na wale
watakaohitimu mwaka huu.
Waombaji ambao sio wa moja
kwa moja (Indirect Applicants)
ni wote waliohitimu kidato cha
sita, Diploma ya Elimu ya Ufundi
(NTA level 6) na Diploma ya
Ualimu katika kipindi cha zaidi
ya miaka miwili iliyopita
(kuanzia 2009 kurudi nyuma).
1.2 Waombaji
Watakaowasilisha Maombi yao
Moja kwa Moja Vyuoni
Waombaji watakaowasilisha
maombi kupitia vyuo husika ni
wenye sifa linganishi
(Equivalent Qualifications) yaani
wenye vyeti vya Astashahada
na Diploma ambazo
hazitambuliwi moja kwa moja
na NACTE. Ili kukamilisha
udahili, wanashauriwa
kuwasiliana na NACTE ili vyeti
vyao vitambuliwe na kusajiliwa
kabla udahili haujaanza.
Vyuo vinavyofundisha
programu mbalimbali katika
ngazi ya Astashahada na
Diploma ambavyo havina usajili
wa NACTE/NECTA vinatakiwa
kuwasilisha matokeo ya
wanafunzi wao NACTE haraka
iwezekanavyo ili matokeo hayo
yaweze kutumika katika
utambuzi wa vyeti vya
wanafunzi husika.
MUDA WA UDAHILI KWA
MAKUNDI MBALIMBALI
Muda wa maombi wa
kuwasilisha maombi ya udahili
kwenye CAS umegawanyika
katika makundi matatu kama
ifuatavyo:
Kundi la Kwanza – (1 Aprili
mpaka 30 Aprili 2012)
Waombaji wote waliomaliza
kidato cha sita, Diploma ya
Elimu ya Ufundi (NTA level 6),
na Diploma ya Ualimu kuanzia
mwaka 2011 kurudi nyuma
wataanza kuomba udahili
kuanzia Aprili 1, 2012 hadi 30
Aprili 2012.
Kundi la Pili
Waombaji wote
watakaomaliza kidato cha sita,
Diploma ya Elimu ya Ufundi na
Diploma ya Ualimu mwaka
2012 wataanza kuomba udahili
baada ya matokeo yao ya
mitihani kutangazwa na
vyombo husika. Hakuna
mwanafunzi atakayesajiliwa
kwa kutumia matokeo ya muda
(provisional or expected
results).
Kundi la Tatu
Waombaji wote ambao ni raia
wa Tanzania waliosoma nje ya
nchi au wenye vyeti ambavyo si
vya mfumo wa elimu ya
Tanzania (mfano: Cambridge,
Bacclaureate, n.k). Waombaji
wa kundi hili wanashauriwa
kuomba udahili mara matokeo
yao yatakapotangazwa na
watatakiwa kupeleka vyeti
vyao Baraza la Taifa la Mitihani
(“National Examinations Council
of Tanzania – NECTA”) au
Baraza la Taifa la Elimu ya
Ufundi (National Council for
Technical Education - NACTE)
kwa ajili ya kulinganisha alama
zao za matokeo au kupata
ithibati kabla ya kuanza
kuomba udahili. Hakuna
wanafunzi watakaodahiliwa
kwa matokeo ya muda.
UTARATIBU WA MIKOPO
Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi
wa Elimu ya Juu kwa mamlaka
iliyopewa kisheria itatoa
mwongozo na utaratibu wa
utoaji wa mikopo mwezi
Februari 2012. Miongozo hii
itachapishwa katika vyombo
vya habari na kusambazwa
kwenye vyuo vyote vya elimu
ya juu nchini na Ofisi za Posta
na kwa Wakuu wa Elimu kila
wilaya. Maombi ya mikopo kwa
mwaka wa masomo 2011/2012
yataanza kupokelewa ifikapo
mwezi Machi 2012 na mwisho
wa kupokea maombi ni tarehe
30 Juni 2012. Utaratibu huu
utahusu waombaji wote wapya
na wale walioko masomoni
katika vyuo vya elimu ya juu.
HITIMISHO
Tunapenda kuwajulisha
waombaji wote kuzingatia
muda wao wa udahili kama
ulivyoainishwa katika tangazo
hili. Muda ukiisha hawataweza
kuomba hadi mwaka wa
masomo 2013/2014. Pia
waombaji wote wanashauriwa
kufuata taratibu za mikopo
kam zitakazotolewa na Bodi ya
Mikopo ili kuepuka usumbufu
unaoweza kujitokeza katika
swala hili
Maelezo zaidi na ufafanuzi
kuhusu udahili na mikopo wa
2012/13 yanapatikana katika
tovuti zifuatazo:
Tume ya Vyuo Vikuu;
www.tcu.go.tz
Baraza la taifa la elimu ya
ufundi; www.nacte.go.tz
Bodi ya Mikopo ya Elimu ya
Elimu ya Juu; www.heslb.go.tz
IMETOLEWA NA: Katibu
Mtendaji, Tume ya Vyuo Vikuu
Tanzania, S.L.B 6562, Dar es
Salaam. Barua pepe (e-mail)
es@tcu.go.tz
Gazeti la Mwananchi la leo, Jumanne, Januari 31, 2012 limeandika habari zenye kichwa cha habari – JK abariki posho mpya za Wabunge: Kila mmoja kulipwa sh 330,000 kwa siku.

Habari hizi siyo za kweli na Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais inataka kutoa ufafanuzi ufuatao:

Maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete kuhusu suala hili yako wazi kabisa na hakuna mahali ambako Rais Kikwete amebariki posho hizi.

Maelekezo ya Mheshimiwa Rais kuhusu suala hili ni kama ifuatavyo:

Kwanza, Mheshimiwa Rais Kikwete anakubali haja ya kuangalia upya posho kwa Wabunge lakini amewataka wabunge kutumia hekima na busara katika kulitafakari suala hili.

Pili, Mheshimiwa Rais Kikwete amewataka Wabunge kutumia Kikao cha sasa cha Bunge kulizungumza upya suala hilo.


Imetolewa na: Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu.
Dar es Salaam.
31 Januari, 2012
Tanzania, Tanzania nchi ya mababu zangu, haindeshwi bila migomo, kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake, bila kujali athari ya wachini yake.

Mwaka jana foleni zilihamia vituo vya kuuzia mafuta, mwaka huu wagonjwa wakosa huduma mahospitalini, wakati wazee wakugonga meza wakitunisha mifuko yao.

Wakiwapuuzia madaktari, huku mahospitalini wagonjwa wakiwa katika hali tete. Huku wakidai hali ngumu Dodoma, hivyo kutunisha mifuko yao.

Hii ndio Tanzania leo Madaktari, kesho walimu, keshokutwa wanafunzi wa vyuo, mtondogoo wauza mafuta, kisha wasafirishaji, huku wao wakitunisha mifuko yao huku hali inazidi kuwa ngumu kwa Mtanzania kwa vitu kupanda bei.


Sudan registered a spot in the knockout stages of the Africa Cup of Nations for the first time in 42 years after a 2-1 win over Burkina Faso.

The victory saw Mohamed Abdalla's side progress from Group B at the expense of Angola, who were beaten 2-0 by Ivory Coast.

Entering the match three points in arrears of Angola and needing a goal difference swing of three, Sudan scored twice through Eltaib Mudather in either half to complete a remarkable turnaround.

The east Africans still managed a quarter-final berth despite a late strike from Issiaka Ouedraogo.

Their qualification was secured after group winners Ivory Coast eased past Angola, who only needed a draw to secure a passage into the next round.

With the likes of Didier Drogba, Yaya Toure and Gervinho watching on from the bench, the second-string Ivory Coast outfit took the lead in the 33th minute through Emmanuel Eboue.

Wilfried Bony tapped in a second 19 minutes after the interval to maintain his side's perfect record in the tournament and send Lito Vidigal's side crashing out.

Monday, January 30, 2012

The Israeli Air Force is pioneering new methods in cyber war for gathering intelligence as Iran races ahead towards nuclear capability.

The Israeli Air Force is pioneering new methods in cyber war for gathering intelligence as Iran races ahead towards nuclear capability.

"We must pioneer in taking on these new methods,” IAF Commander Maj. Gen. Ido Nechushtan said on a recent army conference on the use of cyber warfare in IAF missions.

He made no reference to Iran, where one of its nuclear plants was disabled last year by a Stuxnet virus that is suspected of having originated in Israel.

However, successful cyber attacks on Iran’s nuclear and missile facilities could help cripple the country’s nuclear ambitions and preclude the need of a military attack, which most observers think will be difficult if not impossible to succeed without engulfing the Middle East or even the world in a deadly war.

Concerning intelligence gathering capabilities through cyber warfare, Commander Nechushtan said, "I cannot further elaborate. Some things are better left to the imagination. This is a new intelligence language and we are quickly learning how to incorporate it as part of traditional intelligence gathering methods."

Air Force intelligence personnel at the conference explained that many operational events would not take place without network use. Most of the topics discussed at the conference are classified.

Maj. Gen. Nechushtan said, “The IAF has been a computerized, high-tech power for years, and this will remain true as we incorporate these new fronts. We must see how this new field consolidates with the air force's missions."


Arutz Sheva

Friday, January 27, 2012


Paris Saint-Germain sporting director Leonardo says Inter Milan midfielder Thiago Motta wants to join the French club.

Motta's agent said earlier this week that Wednesday's Coppa Italia match with Napoli could be his client's last game with Inter.

But Motta is still contracted to the Serie A outfit and Leonardo said that while PSG remain hopeful of signing the Italy international, they are reluctant to force the issue.

"The situation is very clear," Leonardo said at the press conference announcing PSG's signing of Chelsea defender Alex.
"We have very good relations both with Inter and the player himself."

"You should know that Inter want to keep him but that Motta wants to come. And that's really something very important to us."

"So we will try to reach an agreement with his club that would suit everyone. It would be a real plus for the club but for now, we respect his contract."

While Leonardo is not giving up on Motta, he reiterated that PSG have ended their pursuit of Manchester City striker Carlos Tevez.

"The negotiations were halted five days ago," he said. "Yes, we spoke, we made offers, even if written offers in newspapers have been exaggerated. But, in the end, nothing has been concluded."

"Anyway, let's be clear, there is no possibility that it will happen this winter because there is now no space with the arrival of Alex."

PSG are three points clear of Montpellier at the top of Ligue 1 ahead of Saturday's trip to Brest.

Inter Milan defender Cristian Chivu has denied he is interested in a move to the club's bitter rivals AC Milan.

A number of recent reports suggested the Romanian left-back was in talks with the Serie A champions about a free transfer at the end of the season, but Chivu said there is no truth in the rumours.

"That was just something the media concocted, and by no coincidence it was right before the derby. That was wrong and totally untrue," Chivu told Inter Channel.

"Nobody spoke to the club, to me or anyone else about that. And it's not going to happen. It's all made up and I'm not even interested."

Chivu, whose current deal expires at the end of the season, plans to open contract talks with Inter next month.

"My agent and the club have decided they will discuss it in February," he said.

Thursday, January 26, 2012


Ghana coach Goran Stevanovic is concerned about the absence of John Mensah for his team's second match at the 2012 Africa Cup of Nations.

Centre-back Mensah, the team's captain, scored the only goal in Ghana's 1-0 win over Botswana on Tuesday.

He then picked up a hamstring injury and saw a red card in the opening fixture of Group D.

Serbian Stevanovic, making his Nations Cup debut as a coach, believes his squad can still execute his strategies without the Lyon man.

"I'm worried because Mensah is very difficult to replace," Plavi said.

"He played well against Botswana but then got sent off."

"But while we were training in South Africa, I told the players that I need every one of them for this competition and so I have 20 other players who could replace him and we will be ready for Mali."
Kuna mwalimu mmoja alikuwa akifundisha wanafunzi wa darasa la tatu.

Katika moja ya vipindi vyake mwalimu huyu, siku moja katika kusherehesha darsa akazungumzia swala ya alfajiri. Alikuwa akizungumza kwa usulubu wenye kuathiri sana. Akazungumzia umuhimu wa swala ya alfajiri na fadhila zake.

Katika wanafunzi wale wa darasa la tatu kuna mwanafunzi aliathirika Sana na yele mazungumzo, kwani mwanafunzi huyo alikuwa hajawahi swali swala ya alfajiri wala jamaa zake wa nyumbani kwake.

Pindi alipo rudi nyumbani alifikiri sana! Afanye nini ili aweze amka wakati wa swala ya alfajiri? Hakupata suluhisho isipokuwa kukesha usiku mzima ili aweze Swali swala ya alfajiri.

Akafanikisha kuteleleza azma yake ya kukesha, lakini likajitokeza tatizo! Msikiti msikitini ni mbali, na hawezi elekea peke yake!!!

Ghafra akasikia sauti ya viatu nje, akafungua mlango haraka. Akamuona mtu aliye kuwa akielekea msikitini, alikuwa ni babu wa rafiki yake Ahmadi jirani yao.

Yule mtoto wa darasa la tatu akamfuata yule mzee nyuma nyuma kwa kujificha ili asije akagundua na kuwaeleza familia yake.

Hali ikaendelea hivi hivi siku zote, akielekea msikitini swala alfajiri kwa kujificha. Lakini kudumu hali ni muhali, kwani alifariki yule mzee, babu wa rafiki yake Ahmadi.

Pindi yule mtoto alipo jua ya kwamba yule babu kafariki, alilia sana!!! Wazazi wake wakashangaa!!!

Baba yake akamuuliza: Mwanangu kwa nini walia kiasi hiki, Hali ya kuwa aliye fariki si rika lako, ili uweze cheza nae?! Na wala si ndugu yako wa nyumbani unaye weza mkumbuka?!

Yule mtoto akamuangalia baba yake kwa macho yenye kutokwa na machozi Na kwa mtizamo wa huzuni!.

Kisha akasema: Natamani aliye fariki ungekuwa ni wewe na wala si yeye!.

Baba akashtushwa kwa lile jibu, akajiuliza kwa nini mwanangu ananijibu hivi na kwa usulubu huu???! Kwa sababu gani mwanangu anampenda mzee huyu kiasi hiki???!

Kisha yule mtoto akaendelea kumweleza baba yake ya kwamba, mie sisikitiki na kupatwa na uchungu kwa sababu hizo unazo zitaja.

Baba akashangaa!!! Akamuuliza tena, kwa hiyo walia kwa sababu gani?

Akamjibu: kwa sababu ya swala. Kisha akaanza kufuta machozi na kumuuliza baba yake, Baba kwa nini huswali swala ya alfajiri? Kwa nini baba hauwi kama yule babu na kama walivyo watu wengi nilio waona?

Baba akashangaa, akamuuliza: Umewaona wapi???

Mtoto akajibu: Msikitini.

Baba akauliza: umewaona vipi???

Akamsimulia jinsi ilivyokuwa.

Baba akaathiriwa sana na mwanae, machozi yakamdondoka! Akamkumbatia mwanae.

Na toka siku ile hajawahi kosa swala yoyote msikitini.


MIMI NI MUISLAM

Equatorial Guinea captain Edjogo-Owono Juvenal has described their qualification to the last eight of the 2012 Orange Africa Cup of Nations as one of the best moments in the history of the country.

Nzalang Nacional beat the Teranga Lions of Senegal 2-1 on Wednesday at the Estadio de Bata to seal their place at the last eight and becoming the first team to book their place at the knockout stage.

“It is an important victory. Today is a historic day in the life of this country. The fans are very excited and I am very proud to be part of this piece of history,” an elated Edjogo-Ewono said after the match.

The Spanish-based midfielder admitted that Senegal handed them a strong test, which they passed in the end thanks to David Alvarez’s superb strike in added-on time.

“It was a very difficult game as Senegal also wanted to win to remain in the competition. They (Senegal) started very well and we had to wait for our chance. After, we had to wait for the decisive moment, which came very late."

“Despite the fact that we have qualified, we still want to win our last match against Zambia. Our target is to finish as the winners of the group and we can only achieve that by winning our last game.”

Coach Gilson Paulo shares the same view as his captain regarding their final Group A match against the Chipolopolo of Zambia on Sunday, January 29 in Malabo.

“Senegal is a very good team with talented players. We did a good job with the win but we are not there yet. We want to win all our matches to finish tops in our group,” said the Brazilian.

Nzalang Nacional has six points, Zambia on four points, with Libya and Senegal in that order with one and no point respectively.

Senegal are out atomatically and is the first team to be send out of competition and it was among of the team which was predicted to take the troph. Other team are The elephant 'Cot'd veory' and the Black Star 'Ghana' who won their first game by one goal.

Tuesday, January 24, 2012


Paris Saint-Germain sporting director Leonardo said the club has ended talks with Manchester City's Carlos Tevez.

The Ligue 1 table toppers had earmarked Tevez as the ideal signing after their move for AC Milan striker Alexandre Pato fell through, but they have now given up on the Argentina international as well after no agreement could be reached.

"We have ended the negotiations for Tevez. At this point, there isn't much movement in the market," Leonardo told L'Equipe.

"There seemed to be an opportunity to sign him, and we studied it. However, in the end we couldn't reach an agreement, despite our good offer."

"We will not make any excessive offers, so we've ended talks. It's over."

Tevez has also been linked with Serie A giants Inter and AC Milan, and the latter in particular are still hopeful of luring the attacker to San Siro.

Sunday, January 22, 2012





Javier Balboa struck in the 87th minute to give 2012 Africa Cup of Nations co-hosts Equatorial Guinea a 1-0 win over Libya on Saturday.

Libya, who failed to translate their possession into goals, had the better of the early exchanges, looking more cohesive against an opponent which relied on ineffective long balls.

The first chance fell to Libya after six minutes, when Walid Al Khatroushi cut in from the right and dribbled into the penalty area, but Fousseiny Kamisoko denied him with a last-ditch tackle.

Iban 'Randy' Iyanga acted as creator for Equatorial Guinea, who had a goal controversially disallowed when Thierry Fidjeu was ruled to have interfered with Samir Aboud’s botched save attempt.

The second half was similar to the first, with both sides looking tentative early before settling down and exchanging attacks.

The high tempo did not last, however, as much of the second half was played at a rather pedestrian pace.

A rare chance saw a defensive lapse resulting in Equatorial Guinea defender Lawrence Sokota Doe hitting a free kick that Aboud did well to save on 72 minutes.

It looked like the match would end scoreless until Equatorial Guinea substitute Akedo Chigozirin stepped up, splitting the Libyan defence with a through ball that found Balboa.

The former Real Madrid winger curled his effort in and sent the home fans into rapturous celebrations. Ekanga could have added a second in the dying minutes.


Elsewhere, first-half goals from Emmanuel Mayuka and Rainford Kalaba gave Zambia a shock 2-1 win over Senegal in Bata.

Dame N'Doye pulled one back for Senegal to give the Lions of Terenga some hope, but it was not to be.

Thursday, January 19, 2012


New Paris Saint-Germain defender Maxwell feels staying at Barcelona would have been the safest option for his career.

The 30-year-old eventually pushed for a move to the Parisians last week after playing second-fiddle to Eric Abidal at left-back for most of his spell in Catalunya.

Speaking to Le Parisien on Thursday, he admitted the lure of playing at the Parc des Princes was too much to resist.

"The easiest thing would have been staying at (Barcelona). Here I expected a challenge," Maxwell said. "It is a great opportunity, PSG have a very large scope for growth."

Maxwell praised former rival Abidal, who overcame a much-publicised battle with a liver tumour over the past year to reclaim his place as Barcelona's chief left-back once more.

"Currently, the best left-back in the world is Abidal," the Brazilian said.

Maxwell debuted in PSG's 3-1 victory over Toulouse on Sunday, and they lead the Ligue 1 standings by three points from Montpellier.

Wednesday, January 18, 2012


Real Madrid playmaker Kaka says he has no interest in moving to Paris Saint-Germain in January.

A report in La Gazzetta dello Sport on Wednesday claimed the two clubs had agreed a 25 million-euro deal, with the transfer dependent only on Kaka hashing out personal terms with PSG. But the 29-year-old Brazilian took to social networking site Twitter to refute the report.

"It is not true that I have made any agreement with another club," Kaka said on Twitter.

"I am totally focused on following my personal and collective goals at Real Madrid."

The French club have been linked with Kaka in recent times, but it has been suggested that Real are unwilling to sell the Brazil international, who has struggled for fitness and form since joining the club in 2009.

PSG coach Carlo Ancelotti said on Tuesday he had not given up hope of landing Kaka, who he coached during his time in charge of AC Milan, but hinted at an off-season swoop for the midfielder.

The Ligue 1 leaders remain keen to bolster their squad after failing to lure AC Milan striker Alexandre Pato to Paris earlier in January.

Sunday, January 15, 2012


Mwezi wa kwanza kama ilivyo namba moja kuipata ilivyokuwa ngumu ndivyo hivyo hivyo ulivyo mwezi huo, ambao wengine huita mwezi wa mifuko kutoboka.

Mwezi wa kwanza huwa ni mwezi unaowapa presha wahitimu wa kidato cha 4, wakati wanafunzi wa kidato cha 6 wakikusanya silaha za kuikabili mitihani wataifa huku madenti wengine wakirejea mashuleni wakiwa na shauku ya kujua nini kilichopo katika darasa lao jipya.

Katika ulimwengu wa soka la bongo ni wakati wakupika fitina za namna ya kumngoa aliye kileleni na wa kileleni ni namna ya kubaki kileleni.

Kwenye soka la ukweli lenye mashabiki wengi ni wakati wa makocha kufanya vitu viwili kwa wakati mmoja (usajili na muendelezo wa ligi) huku mashabiki wakiwa na hamu ya kujua nani anaongezwa kwenye vikosi vyao na nani anaondoka, huku wakiwa na shauku ya kushuhudia ushindi kila timu yake inapoteremka.

Kila baada ya miaka miwili barani Afrika kunakuwa na mashindano ya Mataifa ya Africa 'AFCON' ambapo mara ya mwisho Tanzania kushiriki ilikuwa mwaka 1980 nchini Nigeria.

Ikiwa imebaki masiku kadhaa kipute cha Mataifa ya Afrika nchini Equateria Guinea, ni wakati wa mashabiki wa soka toka Tanzania na ukanda wa Afrika Mashariki kuchagua mataifa ya kushangilia.

Kipute cha ufunguzi kitakuwa GUINEA EQ. vs. LIBYA january 21 ikifuatiwa na SENEGAL vs. ZAMBIA.

Michezo mingine ya awali itakuwa;
22/01/2012
COTE D’IVOIRE vs. SUDAN
BURKINA FASO vs. ANGOLA
23/01/2012
GABON vs. NIGER
MOROCCO vs. TUNISIA
24/01/2012
GHANA vs. BOTSWANA
MALI vs. GUINEA
25/01/2012
LIBYA vs. ZAMBIA
GUINEA EQ. vs. SENEGAL
26/01/2012
SUDAN vs. ANGOLA
COTE D’IVOIRE vs. BURKINA FASO
27/01/2012
NIGER vs. TUNISIA
GABON vs. MOROCCO

Friday, January 13, 2012

Thursday, January 12, 2012


Tarehe 9 Novemba 2011, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) ilipokea maombi la dharura kutoka Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) la kuidhinishwa ongezeko la bei za huduma ya umeme kwa wastani wa asilimia 155 ya bei ya sasa. Maombi haya yalisajiliwa Namba TR- E-11-012.

Kulingana na maombi yaliyowasilishwa, katika mwaka 2010 na 2011 Tanzania ilikuwa na hali mbaya ya mvua katika maeneo ya mabwawa na hivyo iliathiri uzalishaji wa umeme. Hii ilisababisha nchi kuwa na upungufu mkubwa wa umeme na kuathiri sio tu hali ya kifedha ya TANESCO, bali pia na uchumi kwa ujumla wake.

Ili kumaliza tatizo hilo, TANESCO ilisaini mkataba na IPTL kuzalisha Megawati 100 kwa kutumia mafuta mazito (HFO); ilisaini mkataba wa kuuziana umeme (PPA) na Symbion LLC kuzalisha Megawati 112 kutumia gesi asilia na mafuta; na ilisaini mkataba wa kuuziana umeme (PPA) na Aggreko kuzalisha Megawati 100 kutumia mafuta ya dizeli.

Vilevile, TANESCO inatekeleza mradi wake wa Megawati 150 ambao utatumia gesi asilia pamoja na mafuta (dual fuel plant) na mradi mwingine wa Megawati 70 ambao utatumia mafuta mazito (HFO).

Ukiacha miradi ya TANESCO ambayo itakamilika mwaka 2012, umeme unaozalishwa kupitia mikataba tajwa umesaidia kwa kiasi kikubwa kupunguza tatizo la mgao wa umeme hapa nchini.

Hata hivyo, juhudi za kumaliza mgao wa umeme zimeongeza kwa kiasi kikubwa gharama za uendeshaji za TANESCO. Katika kukabiliana na hali hiyo, TANESCO iliwasilisha maombi ya dharura EWURA ikiomba kuongeza bei za huduma zake kwa 155.

Kulingana na kifungu Na. 15(1) (3) cha Mwongozo wa Uwasilishaji Maombi ya Bei wa mwaka 2009 (Tariff Application Guidelines of 2009), Waziri mwenye dhamana (kwa hali hii) wa Nishati na Madini, aliwasilisha Hati ya Dharura (Certificate of Urgency) EWURA ili maombi husika yaidhinishwe haraka na sio kwa utaratibu wa kawaida.

Tarehe 11 Novemba EWURA ilipokea Hati ya Dharura kutoka kwa Waziri wa Nishati na Madini na hivyo kuanza mchakato wa kupitia maombi ya TANESCO baada ya kupata maoni ya wadau.

Kulingana na Kifungu Na.19(2) (b) cha Sheria ya EWURA (Sura 414 ya Sheria za Tanzania), tarehe 2 Desemba 2011, EWURA ilifanya mkutano jijini Dar es Salaam wa kukusanya maoni ya wadau, kuweka maombi husika katika tovuti ya EWURA, pamoja na kuwaandikia wadau wachache ili waweze kutoa maoni yao kuhusu uhalali wa maombi yaliyowasilishwa na TANESCO. Pia maombi tajwa yalitangazwa katika vyombo vya habari mbalimbali.

Baada ya kufanya uchambuzi wa maombi yaliyowasilishwa pamoja na kupata maoni kutoka kwa wadau mbalimbali, Bodi ya Wakurugenzi wa EWURA ilikutana tarehe 12 Januari 2012 na kufanya uamuzi, pamoja na mambo mengine:

(a) Serikali imechangia kwa kiasi kikubwa kufanikisha kupunguza makali ya maisha kwa wa Tanzania kwa mosi; kufuta kodi ya mafuta kwenye mitambo, itakuwa inalipia Sh. bilioni 18 gharama za mitambo IPTL (Capacity Charges) na kusamehe deni la Sh. bilioni 136 kwa TANESCO.

(b) Kutokana na ukokotoaji uliofanywa na EWURA, kwa kuzingatia mzigo ambao Serikali imeubeba na pia kwa kuzingatia hali ya hewa ambayo inaweza kufanikisha upatikanaji wa mvua kwa wingi na hivyo kujaza kwenye mabwawa, bei ya umeme itaongezeka kwa wastani wa asilimia 40.29 kwa wateja wote isipokuwa wateja wanaotumia uniti 0–50 (0–50 kWh) kwa mwezi na ZECO, bei imepunguzwa kwa kwa asilimia 10. Na wafanyakazi wa TANESCO watalipa kama wateja wengine.

(c) Bei zilizoidhinishwa zitaanza kutumika tarehe 15 January 2012 mpaka hapo uchambuzi wa kina utakapokamilika na hivyo kutolewa kwa Order nyingine.



Imetolewa na: Mkurugenzi Mkuu, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma ya Nishati na Maji
Halima Mlacha

Serikali imesema, wazazi na walezi watalazimika kuchangia gharama za mtihani wa kidato cha pili, cha nne na cha sita, kutokana na gharama halisi kuwa mzigo mkubwa kwa Serikali.

Naibu Waziri alisema Serikali imekuwa ikigharamia mtihani wa kidato cha pili tangu mwaka 1984 ulipoanza rasmi hadi mwaka 1994 ulipositishwa na kurejeshwa mwaka 1999 wazazi walipoanza kuchangia gharama za uendeshaji wake kwa Sh 10,000 hadi Serikali ilipositisha hatua hiyo.

Alisema kwa sasa, uendeshaji wa mtihani huo umekuwa aghali kutokana na ongezeko la gharama sambamba na ongezeko la idadi ya shule na wanafunzi ambapo katika miaka ya 90, shule zilikuwa takribani 1,000 lakini sasa ni 4,367 hali inayofanya gharama kuwa kubwa.

“Hivyo Serikali imeamua katika mtihani huu wa kidato cha nne wazazi watachangia Sh 10,000 kwa kila mwanafunzi kwa shule zote za Serikali na binafsi, pia wazazi watapaswa kuchangia gharama za uendeshaji wa mitihani ya Taifa ya kidato cha nne na sita kwa Sh 5,500,” alisema.

Alisema katika mitihani ya mwaka jana pekee, Serikali ilichangia zaidi ya Sh bilioni 28 na gharama ya mwanafunzi mmoja katika mitihani hiyo ni Sh 62,000.
Halima Mlacha

SERIKALI imetangaza rasmi kuupa hadhi mtihani wa taifa wa kidato cha pili na kuanzia mwaka huu, mwanafunzi atakayepata chini ya wastani wa asilimia 30, hataendelea na kidato cha tatu na atalazimika kukariri kidato cha pili.

Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Philipo Mulugo, alisema uamuzi wa Serikali umetokana na uchunguzi uliofanywa na Tume iliyoundwa na Serikali kutafiti chanzo cha kufeli kwa wanafunzi wa kidato cha nne mwaka juzi.

“Naomba ieleweke, kwamba mfumo huo haukufutwa kabisa ila mwaka 2008 Serikali ilitamka kuwa wanafunzi ambao watakosa alama ya asilimia 30 katika mtihani wa kidato cha pili, hawatakariri darasa kama miaka ya nyuma, ila wataendelea na masomo ya kidato cha tatu,” alisema Mulugo.

Hata hivyo, alisema uchunguzi wa mwaka jana, kuhusu ufaulu duni wa wanafunzi katika mtihani wa kidato cha nne mwaka juzi, ulibaini kuwa moja ya sababu za wanafunzi hao kufanya vibaya ni kuwaruhusu kuendelea na masomo baada ya kushindwa kufikia alama stahiki katika mtihani wa kidato cha pili.

Aidha, alisema takwimu zinaonesha kuwa ufaulu wa mtihani wa kidato cha pili umekuwa ukishuka mwaka hadi mwaka, kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka juzi, hivyo kuashiria kuwa wanafunzi na walimu hawafanyi bidii za makusudi kujifunza na kufundisha.

Alisema ufaulu wa wanafunzi katika mtihani huo mwaka 2008 ulikuwa asilimia 73, mwaka 2009 asilimia 69.3 na 2010 asilimia 61.9.

Mulugo alisema kutokana na hali hiyo, kuanzia mwaka huu mwanafunzi atakayepata chini ya wastani wa asilimia 30 atarudia darasa mara moja, akifeli tena mwaka mwingine atafutwa kabisa katika mfumo wa elimu nchini.

Wednesday, January 11, 2012

Picha hiyo inayo onekana hapo, nimeikomboa kwenye profile ya rafiki yangu wa shule ya msingi, ambapo ilibeba message hii "A Man Who Treats His Woman Like A Princess Is Proof That He Has Been Born And Raised In The Arms Of A Queen...!!! ♥ =) "Like" if You Agree..! "

Tuesday, January 10, 2012


Brazilian football idol Ronaldo said teenage starlet Neymar must leave Brazil if he wants to win FIFA's Ballon d'Or.

The Santos attacker, 19, was handed the Puskas award at Monday's ceremony in Zurich for the best goal of the year, beating Lionel Messi and Wayne Rooney to the prize due to his magnificent solo effort against Fluminense.

He was also short-listed for the Ballon d'Or, but missed out on a nomination to the top three and had to watch from the audience as Barcelona's Messi lifted the trophy for the third consecutive year.

Speaking before the ceremony, compatriot Ronaldo was certain that Neymar would be approaching Messi's level if he chose to play in Europe.

Monday, January 9, 2012

Fatma Said, Zanzibar

BINGWA wa mashindano ya netiboli ya Kombe la Mapinduzi anatarajiwa kupewa kombe na dola za Marekani 750 (zaidi ya Sh milioni moja za Tanzania).

Hayo yameelezwa na Katibu wa Kamati hiyo ya Kombe hilo, Khamis Said Abdallah wakati alipokuwa akizungumza na gazeti hili kuhusiana na mgawo wa zawadi kwa washindi wa mashindano hayo.

Alisema wanatarajia kutoa zawadi kuanzia mshindi wa kwanza hadi wa tatu na kwamba mshindi wa pili ni dola 500 wakati mshindi wa tatu ataondoka na kifuta jasho cha dola 250.

Alisema Kamati yake ilijipanga vizuri kuhusu suala la zawadi na walitarajia kutoa zaidi ya kima hicho cha fedha, lakini kutokana na sababu zisizoweza kuepukika wameshindwa kupata kiwango walichotaka kukitoa.

“Tulitarajia kutoa zaidi ya kiwango hicho cha fedha lakini tumeshindwa kutokana na sababu zisizoweza kuepukika," alisema.

Mashindano hayo ya netiboli yanashirikisha nchi sita zikiwemo Kenya, Uganda, Zambia, Zimbabwe, Msumbiji na wenyeji Tanzania.

Tayari wenyeji Tanzania kwa upande wa wanawake wamepoteza mchezo mmoja waliocheza na Uganda ambapo walifungwa mabao 38-33 wakati kaka zao walitoka kidedea kwa ushindi wa mabao 41-36 dhidi ya Uganda.

Saturday, January 7, 2012


Cameroon captain Samuel Eto'o has had his 15-match ban cut to eight months for his role in a players' strike in November.

The Cameroon Football Federation disciplinary committee reduced the sanctions on Friday, meaning the former African Player of the Year will miss just four official matches.

Vice-captain Enoh Eyon, who was initially slapped with a two-game ban, also had his suspension altered after a meeting on Friday at the Hotel Mont-Fede in Yaounde.

Eyong will now stay out of the team for two months, which practically means his two-game ban does not change because he will likely miss the two fixtures of the Lions set to take place within that period.

The pair were punished for their involvement in the team's strike action which led to the cancellation of a friendly match against Algeria because they had not been paid promised bonuses.

The $2000 fine imposed on Tottenham left-back Benoit Assou Ekotto for his repetitive absence from the national team has been quashed.

Marseille's Nicolas Nkoulou is now Cameroon's new captain.

The FA also named former captain and all-time most capped player of the Indomitable Lions Rigobert Song as team manager of the home-based senior national team known as 'Equipe A'.

Friday, January 6, 2012

Fatma Said,
Zanzibar


PAZIA la Mashindano ya Kombe la Mapinduzi kwa mchezo wa netiboli linafunguliwa leo Zanzibar kwa mchezo kati ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Queens’ na timu ya Taifa ya Uganda.

Mashindano hayo yanashirikisha nchi sita na yatakuwa yakichezwa Uwanja wa Gymkhana mjini hapa.

Katika mchezo huo wa ufunguzi mgeni rasmi anatarajiwa kuwa Waziri wa Makazi, Ardhi, Maji na Nishati Ali Juma Shamuhuna saa kumi alasiri.

Akizungumza na gazeti hili Kaimu Katibu Mkuu wa Chama cha Netiboli Zanzibar (Chaneza), Rahima Yussuf alisema timu zote shiriki zilitarajiwa kuwasili jana.

Alizitaja timu nyingine zitakazoshiriki kuwa ni Zambia, Zimbabwe, Msumbiji, Kenya na Uganda.

Thursday, January 5, 2012


Paris Saint-Germain manager Carlo Ancelotti was happy with his team despite a 1-0 loss to AC Milan at the Dubai Football Challenge.

A fourth-minute goal from Alexandre Pato was enough for the Serie A champions to secure victory in the United Arab Emirates on Wednesday.

Ancelotti, in his first game at the helm of the Ligue 1 leaders, said he was content with their performance despite the defeat.

"We played a good game. The first half was good. Also, although we didn't start well because we conceded a goal immediately, there was a good reaction, good play, good football and good combination up front," the Italian said.

"I am happy about this. Of course, we have to improve, but we played against a strong team, and I think that our match was good."

The 52-year-old said it was 'strange' to have his first game come against a former club, and when quizzed about why David Beckham would not join the French giants, affirmed it was the Englishman's personal decision to stay in Los Angeles.

"We had the possibility to have Beckham, but Beckham decided to stay in Los Angeles because his family requested him. It's not our business," Ancelotti said.

"We asked him if he wanted to play. He decided to play. I and the club maintain a very good relationship with him and we wish him good luck for the future."

Meanwhile, AC Milan boss Massimiliano Allegri was happy with the efforts of his attacking trio - Pato, Robinho and Zlatan Ibrahimovic.

"It's been a long time since Robinho, Alexandre Pato and Zlatan Ibrahimovic have played together, but I thought Pato made some good moves tonight," Allegri said.

"In general there were some technical mistakes, but I think it was a good performance from the three of them."

PSG resume their domestic season against Toulouse on January 14, while AC Milan take on Atalanta on Sunday.

Tuesday, January 3, 2012

Kwa takriban mwezi sasa hakuna video mpya za soka la ulaya na ulimwenguni katika page ya video ndani ya Aboodmsuni Na Soka La Bongo na ile ya Aboodmsuni Home.

Kukosekana video za matukio ya soka la ulaya inatokana na kuwa katika marekebisho ya mtandao nilio kuwa na utumia katika kukusanya video hizo.

Tunaomba muwie radhi kwa usumbufu unao jitokeza wakati tunatafuta njia mbadala wa kuendelea kukupatia burudani ya video.


ABDALLAH HAMDUN IBRAHIM SULAYMAN
Mmiliki na muendeshaji wa mitandao ya Aboodmsuni

Sunday, January 1, 2012


Aboodmsuni alijumuika na vijana hawa wa Kijitonyama Chipukizi SC, tarehe 31/12/2011 Katika hafla ya kufunga mwaka. Hii video ni sehemu ya mchezo.