Sunday, October 2, 2011

Tumia vyema Online kabla ya kuwa Offline

Itakuja siku watu wote watakuwa hawakuoni online bali utakuwa off line!...

Marafiki zako wa karibu watakuwa wakikusubiri kwa hamu,lakini huto weza ingia online?!...

Watakutumia barua ! lakini huto wajibu!...

Watakusubiri masaa mengi katika: Facebook, Twitter, Yahoo, hotmail!?...

Lakini hali itakuwa ni vile vile tu, off line!!!...

Siku hiyo comments zako sitasimama!...

Kwa sababu utakuwa…
.
.
.
.
.
.
Ushaondoka katika dunia hii !!!....

Huto kuwa na uwezo wa kuingia online!...

Wala kujibu barua zetu!...

Wala kuweka comment ya aina yoyote!

Na wala huto kuwa na uwezo wa kusahihisha yale uliyo yaandika hapo kabla!

Wala kumtaka msamaha yule uliye mkosea!.....

Wakati huo huto kuwa nasi!!!.....

Wakati huo utakuwa upo…..
.
.
.
.
.
.
.
.
.
Katika shimo dogo lenye kubana na lenye kiza!!!.....

Utakuwa upo kaburini!!!!!.....

Peke yako!..

Hakuna hata mmoja katika jamaa zako ambao walikupenda sana???!!!!......

Unajuta juu ya matendo yako!.....

Au huenda ukawa unaliwazika juu ya matendo yako mema…..

Umetutoka???!!!!....

Haujatuachia isipokuwa yale yaliyo andikwa na mikono yako!...

Au comments zako, yale uliyo yaweka katika wall yako na katika profile lako!!!.....

………………….

Ndugu yangu mpendwa chunga sana juu ya yale unayo yaweka katika profile lako!!!..

Wall yako na comment zako!...

Ili yasije kuwa ni madhambi ambayo yanaendelea kukujia hali ya kuwa wewe upo kaburini…

Kwani kila binadamu ni mwenye kuhesabiwa juu ya yale anayo yatenda!...

Kwa hiyo kuanzia hivi sasa Mtubie Allah na badilisha profile lako…

Ondoa picha zisizo ridhiwa na Allah…

Kabla ya kututoka na kupelekwa Off line!!!

Pindi utakapo kuwa huna uwezo wa kubadilisha lolote.




Imeandikwa na MIMI MUISLAM, ndani ya Facebook

1 comment:

  1. Maashaallah thanx kwa ujumbe mzuuri.Maashaallah thanx kwa ujumbe mzuuri.

    ReplyDelete