Kuna hii tabia ya kutanuwa upande wa kushoto ambao hutumiwa na waenda kwa miguu pamoja na waendesha baiskeli, hali inayo waweka mashakani waenda kwa miguu .
Utanuzi huo wanaoufanya wenzetu wanaotumia magari na usafiri mwingine kwa kujaribu kukwepa foleni, katika maeneo mengine kunawakosesha njia ya kupita kwa watumiaji wa mguu.
Thursday, November 3, 2011
Related Post
0 comments