Friday, April 27, 2012

Nafasi za Masomo katika College ya Al-maktoum


Wanafunzi wa Al-maktoum wakiwa kwenye Workshop


Al-Maktoum College of Engeneering Technology inawatangazi nafasi za masomo ya Cheti na Stashahada kwa mwaka wa masomo 2012/2013.


Al-maktoum inatoa mafunzo katika kozi za Electrical Engineering, Electronics Engineering, Information Technolog pamoja na Short courses.


SIFA ZA MUOMBAJI

Stashahada
Awe amemaliza kidato cha 6 na kupata angalau 'Principal Pass' 1 na 'Subsidiary' 2 katika masomo ya mathematics, physics, chemistry, geography.
Au awe amepata wastani wa 'C' katika Basic Technician 'CERTIFICATE' kutoka chuo kinacho tambuliwa na NACTE.

Cheti
Awe amemaliza kidato cha 4 na amepata angalau 'D' tatu katika masomo ya fizikia/engineering sayansi, hisabati, kiingereza, kemia/jiographia au katika somo husika.


Chuo kina usajili Na. REG/EOS/093 P, na kipo Mbezi Beach Tangi Bovu.


Fomu zinapatikana Chuoni Kwa upande wa Dar es salaam, na mwisho wa kurudisha fomu ni 02/05/2012 na masomo yanataraji kuanza 23/07/2012.


Tangazo hili limewekwa kwa hisani ya ABOODMSUNI NETWORK na picha zote zimepigwa na Aboodmsuni katika moja ya vipindi vilivyofanyika katika workshop ya Computer Maintanance

0 comments