Tuesday, October 9, 2012

Madenge na kuvuja kwa mtihani wa histori

 


 Na Swaum Khalfan,  facebook

Sikia ticha wa hstoria na mwanafunzi wake.
 

Ticha::mtihan umevuja
madenge::wap?
Ticha: dar es salaam.
Madenge: ikawaje?
Ticha: mashule kibao wameupata,maswali yke ni km ifuatavyo; 

1.ni watu gan waliosababisha vita ya kwanza ya dunia?
2.kenya ilitawaliwa na watu gan?
Kabla hajaendlea madenge akadakia,ticha hayo maswali rahisi sana hata haina haja ya kututajia.

Aliesababisha vita simjui ila yule jiran yetu aliwahi kuniambia kuwa walipigwa sana hata yy alikuwepo maana bado ana makovu hadi leo, nikirudi nitamwambia anitajie majina yao alafu nitakuja kuwatajia.

Na kuhusu Kenya kusema kweli baraza la mitihan watakuwa ni wa0nevu,cc ha2kuwepo kenya na toka nimezaliwa sijawah kwenda sasa tutawaonaje hao waliowatawala?

Kama ndo hayo acha uvujie dar maana ungevuja mikoa mingne wangeandamana kwa uchungu. Ticha hoi!

0 comments